MISS Tanzania (2001) na mwanamitindo wa kimataifa, Millen Happiness Magese, ameiomba serikali kuwekeza katika vifaa vya tiba ya ugonjwa wa Endometriosis ili kuepusha wasichana wa Kitanzania wasipate hali ya ugumba ambao unamkabili na kumuumisha katika maisha yake ya kila siku.
Akizungumza katika semina maalum iliyoshirikisha zaidi ya wanafunzi 400 wa kike wa Shule za Sekondari mbalimbali jijini Dar es Salaam, Millen alisema kwamba endapo serikali itaongeza nguvu kupata vifaa hivyo, itasaidia kupunguza tatizo hilo linalowakabili mamilioni ya wanawake duniani.
HABARI
HABARI
MICHEZO
‹
›
BURUDANI
BURUDANI
BURUDANI
BURUDANI
BURUDANI
BURUDANI
SIASA
VIDEOZ
Elekezo: BURUDANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments