Kijana ambaye jina lake halikufahamika mara moja akiwa chini ya ulinzi wa Askari wa eneo la jengo la Mifugo baada ya kuakamatwa kwa tuhuma za kuiba Compyuta mpakato na simu ya mkononi katika moja ya gari lililkuwa eneo hilo. Kijana huyo alishtukiwa na mmoja wa wafanyakazi jina (jina limehifadhiwa) wakati akiwa katika harakati za kufanya tukio hilo katika Ofisi ya Mkurugenzi Msaidizi Huduma za Mifugo jana.
HABARI
HABARI
MICHEZO
‹
›
BURUDANI
BURUDANI
BURUDANI
BURUDANI
BURUDANI
BURUDANI
SIASA
VIDEOZ
Elekezo: HABARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments